Habari za Mahusiano Kila siku
JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE
ETC RADIO ONLINE LIVE
http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/
Binti amfanya Rais Magufuli achangishe fedha Baada ya Kumtajia Matatizo ya Shule yao
Friday, September 7, 2018
Rais Magufuli Kuanza Ziara Mkoani Simiyu Kesho Septemba 08
WAZIRI WA NISHATI DK.MEDARD KALEMANI ATEMA CHECHE MKOANI NJOMBE
Saturday, September 1, 2018
Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba
Wednesday, August 29, 2018
kutana na suruhisho lako kwa njia ya mtandao kwa masharti nafuuu juu ya mambo ya uzazi na mambo yote ya Afya ya binadamu kwa ushauri nasaha Sambamba na hilo ushauri wa ndoa na namna ya kumtambua mwenzi wa kweli lakini pia unaweza kuwasiliana nami kwa ufafanuzi zaidi kwa kupiga simu nambari 0753121916 utaongea moja kwa moja na Prof:Chrispin Kalinga kuwa huru masaa 24
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa wiki
Mahakama Yasema Nondo Anakesi ya Kujibu
Monday, August 27, 2018
BASATA watoa NENO kuhusu afya ya Ommy Dimpoz
Sunday, August 26, 2018
Swali la Mwananchi lasababisha RC Mbeya kujivua uenyekiti wake wa CCM Iringa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amjlia Hali. Dr Hamisi Kigwangala
CHADEMA, ACT Wazalendo Wasusia Uchaguzi wa Marudio Tanga
NAFASI ZA MASOMO HIZI HAPA PAMOJA WEWE UNAYE TAFUTA CHUO CHA UDEREVA SASA KIMBILIO LAKO HILI HAPA
Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Ekros anakutangazia nafasi za masomo yafuatayo kwa wewe mtanzania
Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
Njia ya kupanga uzazi kwa kutumia Kalenda/ Kuzuia Mimba Kwa Njia ya Kalenda
Kutana na mimi Chrispin Kalinga kwa msaada zaidi ili siku ukutanapo na mwenzi wako usipate mimba kwa matumizi sahihi ya karenda lakini pia kama unawasiwasi na siku ya kupata mimba nitafute kwa mashart nafuu kwa msaada zaidi nipigie sim au tuma ujumbe mfupi wa maandi kwa simu: 0753121916
ndani ya masaa 24 kuwa huru nipo kwaajili yako......JINSI AMBAVYO UNAWEZA KUTUNZA PENZI LAKO KWA MWENZI WAKO
Saturday, August 25, 2018
ASANTE
Wiki iliyopita tulijifunza namna ambavyo unaweza kuanzisha mahusiano na mtu yeyote unaye mpenda....mimi naitwa chrispin kalinga ambaye nakusogezea kila wiki lakini unayo nafasi ya kunitafuta kwa simu yangu ya mkononi :0753121916
basi twende sambamba kwa kujifunza namna ambavyo mahusiano yanavyo anza,,,,,,,,,,,,,
Makamu wa rais wa zamani DRC Bemba apigwa chini kugombea urais
Bw Bemba ni miongoni mwa wagombea sita waliokuwa wamewasilisha majina yao kutaka kugombea, lakini tume hiyo imesema hawajahitimu baada ya mashauriano ya saa kadha.
Kiongozi huyo wa zamani wa waasi aliachiliwa huru baada ya mahakama kubatilisha hukumu dhidi yake ya kumpata na hatia ya uhalifu wa kivita mwezi Juni.
Tume ya uchaguzi imesema Bw Bemba amezuiwa kuwania kwa sababu alipatikana na hatia ya kuwahonga mashahidi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC).
Bw Bemba, aliyerejea DR Congo mwanzoni mwa Agosti baada ya kukaa miaka 11 uhamishoni au gerezani, amewasilisha rufaa kupinga hukumu hiyo dhidi yake katika ICC.
Uchaguzi wa mwaka huu utafanikisha kuchaguliwa kwa mrithi wa Rais Joseph Kabila, ambaye muhula wake wa pili na wa mwisho wa kuongoza ulimalizika miaka miwili iliyopita.
Muungano tawala nchini humo ulimteua waziri wa zamani wa mambo ya ndani Emmanuel Ramazani Shadary kuwa mgombea wake.
Kulikuwa na jumla ya watu 25 waliotaka kuwania, wakiwemo mawaziri wakuu wa zamani Antoine Gizenga na Adolphe Muzito. Wawili hao pia wamekataliwa kuwania.
Vyama vya upinzani vilishutumu hatua hiyo ya tume ya uchaguzi hata kabla ya uamuzi huo kutangazwa rasmi, wakiituhumu serikali ya sasa kwa kujaribu kudhibiti na kuelekeza mchakato wa uchaguzi.
Wale waliozuiwa kuwania akiwemo Bemba anayetazamwa na wengi kama mgombea anayetoa ushindani mkali zaidi kwa muungano tawala wa rais Kabila, wanaweza kukata rufaa uamuzi huo wa tume.
Mabasi ya Shule Yagongana Jijini Mwanza Na Kuua Mmoja
Thursday, August 23, 2018
Lugola Atangaza Kiama kwa Polisi Wala Rushwa
Thursday, August 16, 2018
Kesi ya Habinder Seth na Rugemalira Yapigwa Kalenda Tena
Waziri Mkuu Aagiza Kukamatwa Kwa Mtendaji....Ni baada ya upotevu wa sh milioni 141 za kijiji
Lugola Aagiza Polisi Kuwakamata Waliofanya Ufisadi Sekta Ya Michezo
Sunday, August 12, 2018
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amtembelea Waziri wa Maliasili Dk. Khamis Kigwangalla
Thursday, August 9, 2018
Waziri wa Habari Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe Aomboleza Kifo cha Mzee Majuto
Waziri agoma kuwasha umeme, mkandarasi nae matatani
Wednesday, August 8, 2018
Rais Kabila akubali kung'atuka, asema hatagombea amtangaza mrithi wake
Rais Magufuli Akutana Na Viongozi Wa Jumuiya Ya Kikristo Tanzania (CCT) Ikulu Jijini Dar Es Salaam Leo
Tuesday, August 7, 2018
Ahukumiwa kwenda Jela kwa kuishi nchini kinyemela
Monday, August 6, 2018
Mabasi 12 Ya Kwenda Mikoani yasitisha safari n zake
MSANII WA HIP HOP "YLEEZ " KUTOKA NJOMBE AJA KWA MUONEKANO MPYA.
Saturday, August 4, 2018
Lulu Diva Adai Anamiliki Gari La Thamani Kuliko Wasanii Wote Tanzania
Friday, August 3, 2018
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa tamasha la 'Simba Day'
NDOA YA ERICK MLELWA YAAMSHA MENGINE MKOANI NJOMBE
Thursday, August 2, 2018
Mkuu wa Mkoa Njombe ataka wanaotorosha madini wafichuliwe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewataka wananchi wanaoishi Vijiji jirani vinavyopakana na machimbo ya madini ya tanzanite ya mereani wilayani simanjiromkoani manyara kusaidia kuwafichua watu wote watakaojaribu kuhujumu jitihada za serikali kudhibiti utoroshaji wa madini
Dogo Janja: Sijawahi kuwa na bifu na msanii yoyote hapa nchini
Naibu Katibu Mkuu atoa ombi hili kwa Wabunge na Wawakilishi
Jenerali wa Magereza nchini Phaustine Kasike Awaasa Maofisa wa Jeshi la Magereza Kuzingatia Maadili ya Kazi
“Jokate akiamuru Pinda awekwe mahabusu watapiga makofi”: Godbless Lema
Wednesday, August 1, 2018
Wananchi waombwa kuepukana na mila potofu juu ya utumiaji dawa za minyoo
OFA MAALUM KWA WATANZANI KIJANA CHANGAMKIA
Monday, July 30, 2018
Man U waanza mazoezi Miami baada ya kupata kichapo kutoka kwa Liverpool
Subscribe to:
Posts (Atom)