ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee …

Tuesday, January 5, 2016



Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya HispaniaCristiano Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi kadhaa kubwa katika soka, ukiachana na kutwaa tuzo ya tatu ya mchezaji bora wa Dunia  Ballon d’Or kwa mwaka 2015, Ronaldoamefanikiwa kuweka rekodi 7 mpya.
7- Ronaldo amefanikiwa kufunga jumla ya hat-trick 28 katika kipindi cha mwaka 2009-2015, toka amejiunga na Real Madrid mwaka 2009 hadi 2015, Ronaldo anakuwa mchezaji anayeongoza kwa ufungaji wa hat-trick nyingi katika historia ya Laliga.
6- Kufunga magoli 48 kwa msimu mmoja akiwa na Real MadridRonaldo alifunga jumla ya magoli 48 katika msimu wa 2014/2015 na kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli mengi katika msimu ndani ya Real Madrid.
Ronaldo-Shot
5- Kufunga magoli 50 kwa misimu mitano mfululizo. Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza Hispania kufunga magoli 50 katika misimu mitano mfululizo, alianza kufanya hivyo mwaka (2010/11–2014/15).
4- Kufunga magoli 61 kwa msimu mmoja katika mashindano yote aliyocheza ndani ya msimu wa mwaka 2014/2015.
3- Kuvunja rekodi ya ufungaji wa goli 323 ya mkongwe wa Real Madrid RaulRonaldoamefunga jumla ya 338 hadi sasa katika michezo 325 ndani ya  Real Madrid, wakati Raulaliweka rekodi ya kufunga goli 323 kwa kucheza michezo 741.
Raul-5
2- Kuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli 11 katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya hatua za makundi kwa msimu wa 2015/2016.
1- Kuwa mchezaji pekee kutwaa tuzo ya mfungaji bora wa Ulaya mara nne kwa kufunga jumla ya goli 48 kwa msimu wa 2014/2015.
MADRID, SPAIN - NOVEMBER 05: Cristiano Ronaldo of Real Madrid CF kisses his Golden Boot 2014 award at Melia Castilla hotel on November 5, 2014 in Madrid, Spain. Cristiano Ronaldo,s 31 strikes in La Liga last season have given him his third Golden Boot award. This year he has shared the award with FC Barcelona player Luis Suarez for the best scorer in Europe. Both players have scored the same number of goals thorough 2013-2014 season. (Photo by Gonzalo Arroyo Moreno/Getty Images)

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU