ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

BAADA YA KUONEKANA NA KIDOA HOTELINI;SAMATTA AWA MBOGO AFUNGUKA MAZITO KWA KIDOA AMSHANGAA KUTAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LAKE,AFUNGUKA MAZITO JUU YA MREMBO HUYO NA GAZETI LA IJUMAA,ONA HAPA LIVEE

Saturday, January 16, 2016



“Asha umekumbwa na nini na kwann unajaribu kufanya aya hao ijumaa ndo wamekufanya ufanye haya wanakulipa kiasi gani shemej yangu mbna tulikuwa tunaheshimiana sana inamaana iyo tuzo ya ijumaa sexiest girl ndo malipo yake kuwatafutia habar na habar iyo ujaona watu wengine mpk kwangu mm ambaye atuna ayo mazoea na kwa sababu gani ukaamua kunifanya ivi kama ulikuwa na matatizo ungeniambia nikusaidie sio kunitendea ivi unataka kupata nini zaidi najua ulipanga kila kitu ndo maana ulilazimisha kupiga picha na mimi na kulazimisha nikubebe kwny gar kumbe ndo lengo lako ilo umeamua kunipeleka kwny magazeti ya udaku kwa interest za nani na umepewa kiasi gani kuwatafutia iyo stor iv unajua wameingiza kiasi gani kwa ilo hongera bana Ila mm siwez kumfanyia ivi rafiki yangu asante sana mungu atalipa hili. Na nyie ijumaa inamaana iyo tuzo mlimpa uyu mtoto muwe munamtumia kupata habar zenu sio ok hongereni sana mungu atajaalia gazeti lenu liwe namba moja.nakunja goti nasali kwako shemeji yangu asha ujiitae kidoa na pia kwenu gazeti la ijumaa lengo lenu limefanikiwa mbarikiwe.samahanini wana michezo ili suala sio la kweli na limeniuma sana ndo maana nimeliweka apa” amesema Samatta


No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU