ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

NAFASI ZA MASOMO HIZI HAPA PAMOJA WEWE UNAYE TAFUTA CHUO CHA UDEREVA SASA KIMBILIO LAKO HILI HAPA

Sunday, August 26, 2018


Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Ekros anakutangazia nafasi za masomo yafuatayo kwa wewe mtanzania 

Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
.Mafunzo ya kompyuta program zote
.Mafunzo ya u DJ
.Uzalishaji wa video
.Uhadhiri
.Mafunzo ya kiingeleza
.Ungojazi rasilimali
.Utunzaji wa kumbukumbu
.Mafunzo ya muziki
.Uzalishaji wa muziki
SASA TUMEONGEZA NA MAFUNZO YA UDEREVA PAMOJA NA CHETI UTAPATA NA KURAHISISHIWA UPATIKANAJI WA RESENI CHUO KITAHUSIKA .WAHI SASA

.Wahitimu wote wa darasa la saba,kidato cha nne na kidato cha sita na kuendelea.

Chuo kinapatikana Njombe mjini ndani ya uwanja wa sabasaba,pia tunatoa huduma za hostel kwa wanao hitaji.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia namba 0753121916 au 0762795251 wahi sasa nafasi ni chache.

JAZA FOM MAPEMA ILI NAFASI YAKO IANDIKWE .

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU