ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Waziri agoma kuwasha umeme, mkandarasi nae matatani

Wednesday, August 8, 2018


Wananchi mkoani Rukwa wamelalamikia kasi ndogo, inayofanywa na mkandarasi wa kusambaza umeme wa mradi wa umeme vijijini wa REA, ambapo kati ya vijiji 142 vilivyopangwa kupitiwa na umeme huo kwa awamu ya tatu, ni vijiji saba tu vilivyofikiwa hadi sasa na kwa wateja wasiozidi kumi tu.

Mkuu wa wilaya ya Nkasi Bw. Said Mtanda, akitoa taarifa kwa naibu waziri wa nishati Mheshimiwa Subira Mgallu, alipokuwa akikagua ujenzi wa njia kuu ya umeme kwenye mji mdogo wa Kirando, katika mwambao wa ziwa Tanganyika kwa ajili ya viwanda, amesema mkandarasi huyo Nakuroi Investment amekuwa akitekeleza mradi huo kwa kasi ndogo mno, na huku akitoa visingizio vingi hali inayoashiria kushindwa kuutekelza kwa ufanisi.

Kwa upande wake naibu waziri wa nishati Mheshimiwa Subira Mgallu, akiwa katika kijiji cha Nchenje wilayani Nkasi alipotakiwa kuwasha umeme, na kugoma kwa kutoridhishwa na mwenendo mzima wa utekelezaji wa mradi huo, amemuagiza mkandarasi huyo aende Jijini Dodoma kujieleza kwanini asinyang'anywe mradi huo wa zaidi ya shilingi bilioni 42.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU