ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Mbosso Akabidhiwa Hati ya Mjengo

Saturday, August 25, 2018


Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka kuzungumzia nyumba ambazo walijengewa na Mkubwa Fella wakati yupo Yamoto Band. Nyumba hizo ni nne za wasanii wote ambao walikuwa Yamoto Band zipo Mbande Kisewe, Chamazi jijini Dar es salaam.

Akiongea katika kipindi cha The Playlist ya Times FM, Mbosso amesema nyumba yake kwa sasa ipo tayari na ameshakabidhiwa kila kitu kwaajili ya kuanza kuitumia kama nyumba yake.

“Nyumba ipo na Mkubwa ameshanikabidhi kila kitu na mwezi wa tisa nitawapeleka wazazi wangu wakakae huko mimi nibaki hapa mjini,” alisema Mbosso.


Muimbaji huyo mwenye nyimbo 6 toka ajiunge WCB, amesema kwa sasa maisha yake yamebadilika kwa kiasi kikubwa tofauti na awali.

Wiki iliyopita Mbosso pamoja na Lavalava walikabidhiwa magari na bosi wao Diamond Platnumz.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU