Hapa kazi tu ni kauli mbiu ya Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kwa habari za kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Michezo na Burudani
Habari za Mahusiano Kila siku
JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE
ETC RADIO ONLINE LIVE
http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/
Mbosso Akabidhiwa Hati ya Mjengo
Saturday, August 25, 2018
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka kuzungumzia nyumba ambazo walijengewa na Mkubwa Fella wakati yupo Yamoto Band. Nyumba hizo ni nne za wasanii wote ambao walikuwa Yamoto Band zipo Mbande Kisewe, Chamazi jijini Dar es salaam.
Akiongea katika kipindi cha The Playlist ya Times FM, Mbosso amesema nyumba yake kwa sasa ipo tayari na ameshakabidhiwa kila kitu kwaajili ya kuanza kuitumia kama nyumba yake.
“Nyumba ipo na Mkubwa ameshanikabidhi kila kitu na mwezi wa tisa nitawapeleka wazazi wangu wakakae huko mimi nibaki hapa mjini,” alisema Mbosso.
Muimbaji huyo mwenye nyimbo 6 toka ajiunge WCB, amesema kwa sasa maisha yake yamebadilika kwa kiasi kikubwa tofauti na awali.
Wiki iliyopita Mbosso pamoja na Lavalava walikabidhiwa magari na bosi wao Diamond Platnumz.
Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Donald Trump amekana tuhuma kwamba maafisa wake walishirikiana na maafisa wa Urusi Rais wa ...
Eckros Computer Lap 1
About ETC College
Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995. Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes Admission Process New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.
No comments:
Post a Comment