ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

NDOA YA ERICK MLELWA YAAMSHA MENGINE MKOANI NJOMBE

Thursday, August 2, 2018




Huyu kushoni ni bibi harusi na kulia ni msimamizi wa bibi harusi


Na huyu kushoto ni msimamizi wa bwana harusi na kulia ndiye bwana harusi


na hawa kushoto ni medsi wakipendezesha harusi hiyo na kulia kwako katika picha ni medsi wa kiume nao wakipendezesha harusi hiyo.


Hapa ndipo utakapo uona upendo wa kweli mr.Erick mlelwa akiwa na mkewake ambaye kwasasa namwita mrs.Erick mlelwa au  Hawa.

Na hii picha ni ya bwana harusi na bibi harusi wakionyeshana jinsi wanavyo pendana

wao katika hatua nyingine mpigapicha franc malekela akiwaweka sawa kwa pozi zuri kama malaika 

na hii ni picha ambayo inawaonyesha maharusi wetu wakiwa katika hari ya mng'ao mzuri wakiendelea kufurahi na kuwakalibisha waalikwa.



mubashara blog +255753121916

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU