ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Rais Kabila akubali kung'atuka, asema hatagombea amtangaza mrithi wake

Wednesday, August 8, 2018



Rais wa DRC Joseph Kabila hatowania katika uchaguzi wa urais wa Desemba 23. Emmanuel Ramazani Shadary, Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, ameteuliwa kupeperusha bendera ya chama cha PPRD na washirika wake.

Kiongozi wa kwanza wa sasa wa chama cha rais cha PPRD, Emmanuel Ramazani Shadary anatarajiwa kuwasilisha fomu yake kwenye Tume ya Uchauzi (CENI) ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kumalizika muda wa wagombea urais kuwasilisha fomu zao za kuwania uchaguzi wa Desemba 23, msemaji wa serikali Lambert Mende amesema katika mkutano na waandishi wa habari.

Uamuzi huo umetolewa baada ya mkutano wa saa mbili, mkutano ulioitishwa tangu siku ya Jumanne wiki hii na rais Joseph Kabila.

Katika mkutano huo wajumbe wamekubaliana kwamba rais Joseph Kabila hatowania uchaguzi wa Desemba 23 DRC .

Kwa mujibu wa Katiba ya DRC, rais Joseph Kabila hastahili kuwania tena katika uchaguzi wa urais wa Desemba 23.

DRC ambayo ni moja ya nchi maskini zaidi Afrika licha ya rasilimali zake, haijawahi kushuhudia mchakato wa kupeana madaraka kwa amani tangu kupata uhuru wake kutoka mikononi mwa Ubelgiji Juni 30, 1960.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU