ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

WAZIRI ATUA KATIKA DARAJA LA KIGAMBONI NA KUTOA MAAGIZO HAYA

Thursday, December 24, 2015






DAR ES SALAAM


Waziri Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama ametembelea mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni ambapo amehimiza kuharakishwa ujenzi wa mradi huo ili kuwapunguzia wananchi adha ya usafiri pamoja na kupunguza msongamano katika jiji la Dar es salaam.
Katika Ziara hiyo aliyoongozana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Anthony Mavunde Waziri Muhagama amesema msongamano katika jiji la Dar es salaam umekuwa ni tatizo kubwa linalosababisha Serikali kukosa mapato kutokana na muda mwingi kupotea katika foleni za barabarani,
_MG_3722
Kwa Upande wake Mhandisi wa Mradi huo kutoka Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF Mhandisi Msemo amesema mradi huo uliotakiwa ukamilike tangu january mwaka huu ulishindwa kukamuilika kutokana na changamoto mbalimbali na kuahidi kuukamilisha mapema mwakani.
Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaotekelezwa na Mfuko wa Hifadhi ya jamii NSSF pamoja na Serikali umegharimu zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 143.5


daraja

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU