ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

VIONGOZI CHAMA CHA WALIMU CWT MKOANI NJOMBE WAPATIWA MAFUNZO YA UONGOZI

Tuesday, December 29, 2015



Walimu mkoani njombe wametakiwa kuwaandaa wanafunzi mashuleni kwaajili ya kunufaika na uwekezaji mkubwa wa madini yaliganga na mchuchuma wilayani ludewa kutokana na tathmini kuonyesha kuwa migodi hiyo miwili itahitaji wafanyakazi wengi ambao ni wazawa na wenye ujuzi

Aidha walimu  wenyewe wametakiwa kujiandaa na uwekezaji huo kwa kufanya shughuli mbalimbali za ujasilia mali kama kilimo na ufugaji kufuatia kundi kubwa la wageni ambao watahitaji bidahaa mbali kama mifugo na mazao ya chakula

ushauri huo umetolewa na mkuu wa mkoa njombe dkt rehema nchimbi wakati akifungua semina elekezi kwa viongozi wa chama cha walimu mkoa wa njombe CWT Ambapo amesema kuwa zaidi ya wafanyakazi wazawae lfu 50  watanufaika na ajira  huku idadi ya wageni kutoka nchini china ikiwa elfu sita ambao watahitaji bidhaa mbalimali kutoka kwa wenyeji


Mmoja wa wakufunzi katiaka semina hiyo ya siku tatu mwalimu Issa Ally Ngayama ambaye Katibu wa Chama Cha Walimu Tanzania CWT Mkoa wa Morogoro amewataka alimu hao kuacha kujigawa kwa kuanzisha vyama vya walimu nje ya CWT kwa kuwa kufanya hivyo kutapelekea wao kushindwa kupata haki zao kutoka kwa mwajiri na badala yake waendelee kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na chama cha walimu Tanzania CWT



Washiriki wa  semina hiyo wakiwemo wenyeviti wa chama hicho wilaya za makete na ludewa mbele ya mkuu wa mkoa njombe wameendelea kupaza sauti dhidi ya kero zinazowakabili walimu huku wakionyesha kusikitishwa na kitendo cha serikali wilayani ludewa kuwatoza kodi za nyumba walimu jambo ambalo linarudisha nyuma jitihada za kukuza elimu wilayani humo



No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU