ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

MKUU WA HUDUMA YA MAGEREZA AWASAIDIA WAFUNGWA KUTOROKA KATIKA GEREZA LENYE ULINZI MKALI KABLA YA KUFUKUZWA KAZI

Wednesday, December 30, 2015

Mkuu wa huduma ya magereza katika mji Buenos Aires Argentina amefutwa kazi baada ya wafungwa watatu mashuhuri kutoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali siku ya Jumapili.
Gavana wa jimbo hilo , Bi Maria Eugenia Vidal , alisema yeye alichukua hatua hiyo kwa sababu kulikuwa na ushahidi kwamba wafungwa wote walisaidiwa na maafisa wa idara ya magereza kutoroka .
Wafungwa hao Victor Schillaci na kaka wawili Cristian na Martin Lanatta, walikuwa wanatumikia hukumu ya maisha gerezani kwa makosa ya utekaji nyara na mauaji ya wafanyabiashara watatu katika tukio lililohusishwa na mzozo wa madawa ya kulevya mnamo mwaka wa 2008.
Yamkini walitoroka kutoka kwenye gereza lenye ulinzi mkali zaidi wakitumia bunduki bandia kutishia moja wa walinzi.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU