ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

REAL MADRID YAMPACHA MTU 10 - 2

Monday, December 21, 2015


Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya ispania maarufu kama (La Liga ) .
Madrid walianza kufunga mabao kupitia Danilo na Rayo Vallecano wakasawazisha na kuongeza bao na kuongoza ikiwa ni bao 2-1.
Katika ushindi wa mabao hayo 10-2 -mbali na mchezaji Danilo mabao mengine ya madridi yalifungwa na wachezaji Gareth Bale mabao manne (4) , Cristiano Ronaldo mabao mawili (2), Karim Benzema mabao matatu (3), huku mabao ya Rayo Vallecano yakifungwa na Antonio Amaya Pamoja na Jozabed.
Ushindi huu umewabakisha Real Madrid katika Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara Barcelona na Atletico Madrid 

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU