ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

HABARI ZA HIVI PUNDE 25 watekea katika hospitali Saudi Arabia

Thursday, December 24, 2015



Takriban watu 25 wameuwa na zaidi ya 100 kujeruhiwa kwenye mkasa wa moto katika hospitali moja iliyo mji wa Jazan nchini Saudi Arabia.
Moto huo ulitokea katika gorofa ya pili ya hospitali ya jazan ambapo vyumba vya kujifungua na vile vya wagonjwa mahututi vipo mapema leo Alhamisi .
Walionusurika na majeruhi wamehamishwa kupelekwa katika hospitali zingine.
Haijabainika kile kilicho sababisha moto huo na sasa uchunguzi unandelea .
Huduma za dharura sasa zimeuzima moto huo.
Picha za tukio hilo zilizochapishwa kwenye jarida la kila siku la Okaz zinaonesha mabaki ya hospitali hiyo yaliyotekekea na kuharibika kabisa.
Mji wa wa Jazan uko karibu na mpaka wa Saudia na Yemen taifa ambalo limesakamawa na vita kati wenyewe kwa wenyewe.
Jeshi la Saudia linasaidia majeshi ya serikali ya Yemen kupamabana na uasi ulioanzishwa na kundi la waasi wa Houthi.
Mapema mwezi huu kombora lililokuwa likielekea Jazan lilidunguliwa na majeshi ya Saudia hata hivyo hivyo haijabainika kufikia sasa iwapo moto huo unauhusiano wowote na mapigano yanayoendelea huko Yemen.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU