ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Serena Williams ameshinda Wimbledon na kutengeneza rekodi mbili mpya, zipo hapa

Saturday, July 9, 2016

Serena Williams
Fainali ya mashindano ya tenesi ya Wimbledon kwa upande wa anawake imamalizika kwa Mmarekani, Serena Williams kuibuka mshindi baada ya kumfunga Mjerumani, Anelique Kerber.
Serena amefanikiwa kushinda taji hilo kwa kumfunga Angelique seti 7-5 na 6-3, ushindi ambao
umemfanya kuendelea kujiwekea historia katika mashindano makubwa ya tenesi ambayo amekuwa akishiriki.
Baada ya kushinda taji hilo, sasa ameweka historia mpya baada ya kufikisha mataji saba ya Wimbledon lakini kama hilo halitoshi amevunja rekodi ya Steffi Graf ya kushinda mataji makubwa ‘Grand Slam’ baada ya kufikisha idadi aliyokuwa nayo mchezaji tenesi huyo ya kuwa na mataji 22.
Pamoja na kuweka rekodi hizo mbili ambazo hazikuwepo awali lakini unapaswa kufahamu kuwa Serena Williams ndiyo anaongoza katika orodha ya wachezaji bora wa tenesi kwa upande wa wanawake.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU