ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Kama ulikupita ushindi wa Simba dhidi ya Ruvu Shooting

Friday, December 30, 2016

img-20161229-wa0036

Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea leo kwa michezo miwili kuchezwa Simba walicheza dhidi ya Ruvu Shooting uwanja wa Uhuru Dar es Salaam na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 goli ambalo lilifungwa na Mohamed Ibrahim wakati wa dakika za

Baada ya kufungana kwa rekodi na Ndanda FC kwa michezo mitano, leo Yanga imepata ushindi


Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 28 kwa Dar es Salaam Young Africans kuendelea na harakati zake za kutetea taji lake la Ligi Kuu soka Tanzania bara kwa kuikaribisha Ndanda FC katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
Yanga ambao wamekuwa na rekodi sawa na

Auawa Kwa Kuchomwa Kisu Wakati Wakigombea Soda

Tuesday, December 27, 2016



JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia mkazi wa Olasiti, jijini Arusha, Hamisi Amani (17), kwa tuhuma za kumuua mwenzake wakati wakigombea soda.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa

Ushauri wa Zitto Kabwe Kwa Serikali Baada ya Kisa Hiki Alichokutana Nacho Hospitali Wakati Mkewe Akijufungua


Jana December 27 2016 mbunge wa kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe na mke wake wamepata mtoto wa kike ambaye wamempa jina la Josina – Umm Kulthum.

Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa

SAKATA LA KUUAWA KWA FARU JOHN LACHUKUA SURA MPYA, WATUMISHI WATANO WATIWA MBARONI



Maofisa watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wanaotuhumiwa kushiriki kumwondoa faru John kutoka katika Creta hiyo walikamatwa juzi kwa mahojiano ili kujua ukweli kuhusu mazingira ya kupotea kwake. 
Hatua ya maofisa hao kukamatwa imekuja siku tatu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuituhumu menejimenti, wafanyakazi wa

OLE SENDEKA TANGAZA VITA NA WABADHIRIFU

Saturday, December 24, 2016



Mkuu wa mkoa wa njombea Christopher Olesendeka  ameuagiza uongozi wa halmashauri ya wilaya wangingo’mbe ikiwemo ofisi ya mkurugenzi kuhakikisha inamchukulia hatua za kisheria mtumishi wa idara ya

ULIIPATA HABARI YA BWANA HARUSI KUMKIMBIA BI HARUSI KANISANI KABLA YA KUFUNGA NDOA?? MAPYA YAMEIBUKA

Wednesday, December 21, 2016



Mapya  yameibuka sakata la kukwama kufungwa kwa ndoa ya Samwel Mwakalobo na Ginen Mgaya, baada ya kubainika kuwa moja ya sababu ni Bibi harusi mtarajiwa kuendeleza uhusiano na mzazi mwenzake.

Bwana harusi, Samuel Mwakalobo alitoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na

Jamaa ashinda milioni 760 kwa mkeka mmoja.

kenya2

Jamaa mmoja nchini Kenya sikukuu ya Christmas imemjia vizuri baada ya kushinda na mkeka wake kwenye kampuni ya Sport Pesa.
Jamaa mwenyewe jina lake ni Peter Byegon ni mfanyakazi wa hotel moja huko Nairobi ameshinda baada ya kupatia tabiri 16 kati ya 17 na kumpa ushindi wa kiasi cha Tsh 768,785,852.
Bwana Peter kama angepatia mechi zote 17 basi

CCM na Kujivua Gamba

Muhammad Yussuf
Katika Gazeti la NIPASHE toleo la Jumaane tarehe 20 Desemba 2016, kulichapishwa makala yenye kichwa cha maneno “CCM yarudisha kivingine staili ya uvuaji magamba”. Pamoja na mambo mengine, Mwandishi wa makala hiyo,Thobias Mwanakatwe, aliandika kama hivi:
“CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema matajiri wenye mikono michafu inayohusika na rushwa na dhuluma, wakae kando na chama hicho kwa kuwa kimeanza safari ya

TAASISI ZINAZOHAMASISHA NA KUTANGAZA USHOGA KUFUTIWA USAJILI TANZANIA


WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ametaka apewe taarifa kuhusu taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) wanaohamasisha au kutangaza ndoa za jinsia moja nchini ili azifutie usajili mara moja.
Aidha ametaka kutajwa kwa watu wanaojihusisha na vitendo hivyo ili

RAIS MAGUFULI ATUMBUA VIGOGO 300 KWA UOZO NDANI YA SERIKALI



RAIS Dk. John Magufuli anaelekea kufunga mwaka huku akiwa amesafisha Serikali yake ya awamu ya tano kwa kuwatumbua watendaji zaidi ya 300 tangu alipoapishwa Novemba 5, mwaka jana.
Hatua hiyo imekuja baada ya kubainika uozo ndani ya Serikali, huku baadhi ya watendaji wa ngazi za juu wakihusishwa na tuhuma mbalimbali, ikiwamo za matumizi mabaya ya ofisi na ufisadi.
Hatua hiyo inaelezwa ni miongoni mwa mkakati wa

RAIS MAGUFULI AGOMA SHULE KUITWA JINA LAKE



Rais John Magufuli amekataa shule ya msingi iliyojengwa hivi karibuni eneo la Bunju, Wilaya ya Kinondoni kuitwa kwa jina lake badala yake ameagiza iitwe kwa jina la Mkuu wa wilaya hiyo, Ally Hapi. Taarifa ya badiliko la jina haikutolewa na Idara ya

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUHUSU MAITI 7 ZA MTO RUVU NA KUPOTEA KWA BEN SANANE - See more at: http://www.bongohotz.com/2016/12/taarifa-ya-jeshi-la-polisi-kuhusu-maiti.html#sthash.ULSjwiDp.dpuf

post-feature-image

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu miili 7 ya watu iliyokutwa ikielea katika mto Ruvu na kusema kuwa linaendelea na upelelezi kwa lengo la kuwatambua marehemu hao. Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO YATAMBULISHA ZANA MPYA NA KUBORESHA ZANA YA TIGO PESA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE


Na Dotto Mwaibale

 KAMPUNI  inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali Tigo Tanzania  leo imezindua zana ya kipekee, ya kibunifu na sahihi  ambayo inatoa njia rahisi  ya kununua vifurushi vya tigo, kuboresha akaunti za wateja, kuangalia salio na muhimu zaidi  kujiweka katika mkondo wa

BREAKING NEWZZ:AJALI YA YAUA WATU WANNE DODOMA


Watu wanne wakiwamo polisi wawili, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupindua katika kijiji cha Seruka kata ya Chipogoro tarafa ya Rudi wilayani Mpwapwa mkoa wa Dodoma.

Ajali hiyo ilitokea Desemba 19, mwaka huu, saa 11:30 jioni katika kijiji hicho baada ya gari

FURSA YA KUJIPATIA KIPATO KWA MWENYE KUHITAJI FUNGUA LINK HII

Saturday, November 26, 2016

http://Youthnize.com/?ref=385231

KICHUYA AMFUATA SAMATTA UBELGIJI

Tuesday, November 15, 2016












Tetesi za usajili dirisha hili mmmmh ! Kweli biashara itafanyika . Yaani kama  crew ya

Simba yawadaka wachezaji wanayoiangusha timu

Monday, November 14, 2016

mavugo-benchi-simba-bongosoka
Klabu  ya  wekundu wa msimbazi , Simba imesema kuwa imewabaini wachezaji wake waliocheza chini ya kiwango hadi timu hiyo kupoteza mechi mbili mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ambayo tangu kuanza kwa

Madini mapya yagunduliwa Mererani, Tanzania

Wednesday, November 2, 2016

'Masharubu' ya madini ya Merelaniite
Madini mapya yamegunduliwa nchini Tanzania, katika eneo lenye madini ya kipekee la Manyara, na kupewa jina Merelaniite.
Jina hilo limetokana na eneo ambalo madini hayo yalipatikana, Merelani (Mererani) katika milima ya Lelatema katika wilaya ya Simanjiro katika eneo la Manyara.
Eneo hilo linafahamika sana kwa madini ya

WAZIRI MKUU MSTAAFU LOWASSA WALIVYOKIMBIANA NA MFUASI WAKE WA KARIBU SANA BUNGENI JANA SOMA HAPA LIVE!!


MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba, jana alikwepa kusalimiana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa mjini Dodoma. Lowassa ambaye alikuwa ameandamana na Waziri Mkuu mstaafu, Fredereck Sumaye na

UN NA EU ZATOA EURO LAKI NANE KUSAIDIA WATOTO WA KIKE

Shirika la Umoja wa Mataifa la UN kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) wametoa Euro laki nane kuwasaidia watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu na wahanga wa mimba za utotoni waishio kwenye kituo cha Faraja Young Women Development Unit .

Mwakilishi wa EU ambaye ni Afisa Miradi Anna Muro amesema kuwa msaada huo utasaidia kuwawezesha wanawake Waweze kushiriki kwenye maendeleo ya jamii .

Akizungumza katika kituo hicho kinacholelea watoto 30 wenye watoto ambao walipata mimba katika umri mdogo na kushindwa kuendelea na masomo ambapo wanasaidiwa na kituo hicho kupata elimu ya ufundi wa ushonaji na mapishi ili kupata stadi zitakaowasaidia kujikwamua kimaisha.
Mwasisi wa Shirika la Faraja Young Women Development, Martina Simon Siara akitoa maelezo kwa

RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA HOSTELI ZA WANAFUNZI KATIKA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Saturday, October 22, 2016


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kabla ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Hosteli za Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi watatu kutoka (kulia), Waziri wa Elimu Sayansi Teknolojiana Mafunzo ya Ufundi Profesa Joyce Ndalichako wanne kutoka (kulia) watatu kutoka kushoto, Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha

MJADALA WA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WAENDELEO MJINI DODOMA CHINI YA KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII

Image result for bungeni


Na Mwandishi Wetu Dodoma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii leo imekutana Mnini Dodoma na kuendelea na kuujadili Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari kwa kuendelea kupitia kifungu kwa kifungu katika Muswada huo.

Akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Peter Serukamba alisema

Rais Magufuli aagiza HESLB kuongeza kasi ya ukusanyaji wa madeni.


Na Beatrice Lyimo-MAELEZORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli ameagiza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu kutumia Sheria zilizopo kuongeza kasi ya

JB anusurika kifo katika ajili ya gari

bongo
Mwigizaji wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen ‘JB’ Ijumaa hii amenusurika kifo katika ajali ya gari.
Mwigizaji huyo ambaye hivi karibuni alikuwa mkoani

Alichokizungumza Rais Magufuli kuhusu mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu

Friday, October 21, 2016



Baada ya kuwepo kwa hatua mbalimbali za wanafunzi wa vyuo kudai ongezeko la fedha ya kujikimu na kupatiwa mkopo kwa wanafunzi ambao hawajapatiwa mikopo na baadae Wizara kuahidi kushughulikia suala hilo.
Leo October 21 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

BREAKING NEWS:HAKUNA ALIETEGEMEA KUONA TUKIO HILI MKURUGENZI AMGOMEA WAZIRI MKUU NI BAADA YA KUPEWA MAAGIZO HAYA..

Thursday, October 20, 2016

AGIZO la Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, kuwataka watendaji wa Serikali kutoa taarifa katika vyombo vya habari juu ya mipango ya maendeleo inayofanywa na serikali, limepuuzwa na Godwin Kunambi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, anaandika Dany Tibason.

Leo baada ya kumalizika kwa zoezi la usafi uliofanyika ili kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere,

'Proposed media services law raises fresh concerns among stakeholders'


MEDIA practitioners and other stakeholders have urged the government to give them more time to review the Media Services Bill of 2016 before it is tabled in parliament amid growing concerns that it will give the state draconian powers to muzzle the press and grossly undermine media freedom in Tanzania.
The country currently has the most dynamic media industry in east Africa in terms of outlet numbers and media concentration, but local journalists fear that

List ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika na Samatta

Wednesday, October 19, 2016


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta October 15 2016 amepokea good news iliyotangazwa na shirikisho la soka Afrika CAF, good news ya Samatta iliyopokelewa na watanzania ni kutokana na kutajwa katika list ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa

Afande Sele kakubali kujiunga CCM ? kayaongea haya…

Ni October 15, 2016 ambapo msanii mkongwe kutoka Bongoflevani, Afande Sele aliingia kwenye headlines mitandao za kuhusu kuhamia CCM kutokana na

Zitto Atoa neno kuhusu ugomvi wa Lema na Rc Arusha


Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameamua kutoa ya moyoni kufuatia hali iliyojitokeza jana mkoani Arusha wakati wa

Mechi saba tu Yanga inapindua meza

Tuesday, October 18, 2016


Yanga inashika nafasi ya tatu Ligi Kuu ikiwa na pointi 15

WANASAYANSI HAWACHOKI, SASA WATUMA CHOMBO KINGINE CHA ANGA ZA JUU ILI KUTUA KATIKA SAYARI YA MARS


Chombo cha anga za juu cha Ulaya Schiaparelli kimefanikiwa kujitenga na "chombo mama" angani na kwa sasa kinaelekea kwenye sayari ya

Mahakama Yaitupilia Mbali Kesi Ya Mbowe Hotels Dhidi Ya Shirika La Nyumba La Taifa (NHC )


Mahakama kuu kitengo cha Ardhi imetupilia mbali kesi ya maombi ya kurejea katika jengo iliyokuwa ofisi ya Tanzania Daima pamoja na

'Walioiba' makontena waanza kujisalimisha

WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema tayari baadhi ya watu waliotorosha makontena bandarini bila kukaguliwa, wameitikia agizo lake la kuwataka kujisalimisha na kufanyika ukaguzi ili kujiridhisha bidhaa zilizokuwemo ndani ya makontena hayo.
Mwishoni mwa wiki, Mwijage alitoa siku nne kwa wafanyabiashara ambao wanadaiwa kutorosha makontena 100 bandarini, wajisalimishe Shirika la

SERIKALI KUUNDA TUME YA KITAALAMU YA KUFANYA MAPITIO MAKUBWA YA MFUMO WA ELIMU.

Monday, October 17, 2016

Mfumo wetu wa elimu kwa muda mrefu umeonesha udhaifu katika usimamizi, uendeshaji, udhibiti na ugharimiaji tangu Taifa letu lilipo amua kufanya ugatuzi wa madaraka, uliopelekea sekta ya elimu kuendeshwa chini ya wizara tatu tofauti.
Ili kufanya mabadiliko katika Elimu, Tuungane kuitaka serikali kuunda tume ya

Ratiba nzima ya ligi kuu tanzania bara msimu wa 2016/2017

Image result for yanga africans


Ukitaka kupata ratiba kutokana na mechi za karibu , matokeo , wafungaji wanaoongoza , msimamo wa ligi 
NGAO YA JAMII – 17 TH AUGUST,2016
Round 1 31.08.2016(Wed) 1 YOUNG AFRICANS Vs JKT RUVU MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
20.08.2016(Sat) 2 KAGERA SUGAR Vs MBEYA CITY KAITABA KAGERA
20.08.2016(Sat) 3 SIMBA SC Vs NDANDA FC MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
20.08.2016(Sat) 4 TOTO AFRICAN Vs MWADUI FC CCM KIRUMBA MWANZA
20.08.2016(Sat) 5 STAND UNITED Vs

Hatukuomba Kuja Bariadi, Hatuna Uwezo wa Kurudisha Fedha za Mwenge – Madereva


Madereva na wasidizi wa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mbalimbali waolikuwa tayari wameshafika mkoani Simiyu kwaajili ya kusherehekea kilele cha mbio za mwenge, wameeleza kuumizwa na agizo la Rais John Magufuli la kurejesha fedha za kujikimu.
Baadhi wamesema kuwa hawana uwezo wa kuzirejesha fedha hizo kwani hawakuwaomba kufanya safari hizo kwa kuwa ilikuwa sehemu ya

Maneno ya Diamond kwa Harmonize baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA

Tuzo za AFRIMMA ambazo hutolewa kila mwaka kwa Waafrika mbalimbali waliofanya vizuri kwenye sekta mbalimbali hasa za burudani, zimetolewaDallas Texas Marekani leo ambapo kwenye list yote Watanzania walioshinda ni watatu.
Watanzania walioshinda ni Dj D Ommy wa

BREAKING NEWS : RAIS MAGUFULI AAMURU WALIOLIPWA PESA ZA MWENGE WAZEREJESHE

Wednesday, October 12, 2016

Image result for rais magufuli

Habari kamili. Mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbogamo Njombe amepigwa na walimu wake mpaka kupoteza fahamu



Na Erick Mlelwa,Njombe
Siku chache baada ya kuripotiwa taarifa za mwanafunzi kushambuliwa kupigwa na walimu katika shule ya Mbeya day jijini Mbeya tukio la aina hiyo limemkuta mwanafunzi mwingine wa shule ya sekondari ya Mbogamo ya mjini Njombe ambaye ameshambuliwa kwa kupigwa mpaka kupoteza fahamu na

Mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbogamo Njombe amepigwa na walimu wake mpaka kupoteza fahamu



Siku chache baada ya kuripotiwa kw mwanafunzi kushambuliwa na

Merkel azindua jumba la Nyerere Addis Ababa

Jumba hilo limegharimu euro 27 milioni
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezindua jumba jipya makao makuu ya Umoja wa Afrika ambalo limepewa jina la rais mwanzilishi wa taifa la Tanzania, Julius Nyerere.
Jumba hilo ambalo jina lake kamili ni Jumba la Amani na Usalama la Julius Nyerere limejengwa kwa ufadhili kutoka Ujerumani.
Litakuwa makao ya idara ya Amani na Usalama ya AU na

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Tuesday, October 11, 2016


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Ukraine hapa nchini Yevhemsi Tsymbalik Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa

KAMPUNI YA KITANZANIA KUUNDA GARI LA KWANZA DESEMBA 2016: Wapanga kulizindua kabla ya Krismas mwaka huu


KAMPUNI ya Simba Motors imesema ina mpango wa kujenga kiwanda cha kuunganisha magari aina ya pick-up ambacho kitaanza kuzalisha magari kabla ya Desemba 30, mwaka huu.

Ahadi hiyo imetolewa leo mchana (Jumatatu, Oktoba 10, 2016) na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw. Jitesh Ladwa mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salaam.

“Tumeamua kuunda magari aina ya

MADIWANI ‘WAMTOSA’ LIPUMBA!


Uamuzi uliotolewa na Ukawa wa kutoshirikiana na Profesa Ibrahim Lipumba hautaathiri umoja huo wa vyama vya upinzani katika uchaguzi wa umeya wa manispaa za Dar es Salaam, baada ya madiwani wa CUF kumsusa.

Profesa Lipumba anatambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kwamba ndiye mwenyekiti halali wa

SIKU YA MTOTO WA KIKE: TUJIFUNZE KUTOKA KATIKA KISA CHA MAYA



Katika kusheherekea siku ya mtoto wa kike kimataifa, ninawaletea kisa kifupi chenye mafunzo muhimu kwa wasichana wote duniani, kisa hichi ni cha MAYA.
Maya ni binti wa miaka 12 aishie na wadogo zake wawili wa

HABARI NZITO YA HVI PUNDE: HAKUNA ALIEAMINI HIKI KUTOKA KWA JPM RAIS MAGUFULI AFANYA MAAMUZI MAZITO BAADA YA VURUMAHI HILI ZITO LA MBUNGE HUYU...

Thursday, October 6, 2016

RAIS John Magufuli amemteua Mrisho Gambo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha (Mjini) kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kumng’oa Felix Kijiko Ntibenda aliyekuwa akishikilia wadhifa huo,anaandika Charles William.
Gambo ambaye kwa muda wa mwezi mmoja sasa, amekuwa katika mgogoro na Godbless Lema, Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni kuingiliana majukumu, amepandishwa wadhifa katika mazingira yanayoaminika kuwa, ni ya kimkakati zaidi.
Mwanzoni mwa mwezi huu, Lema na Gambo walishambuliana vikali mbele ya Seleman Jafo, Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), katika kikao cha

'Why Tanzanians remain poor despite rapid economic growth'


The bank cited Tanzania among a group of nations that have successfully reduced inequality significantly in recent years, but warned that if unequal distribution of the gains of economic growth continues, the goal of ending extreme poverty by 2030 may not be achieved. 
Tanzania, one of the ten fastest-growing economies in Africa, has made some modest gains in reducing inequality over the past two decades, but

HABARI NZITO USIKU HUU: LIPUMBA WA JANA SI BORA KULIKO LOWASSA WA LEO..

Lipumba-Lowassa
WAKATI Profesa Ibrahim Lipumba akiendelea kutumia jina la Edward Lowassa kama kinga ya usaliti wake dhidi ya CUF na UKAWA, baadhi ya wasomaji wa safu hii wameniuliza maswali kadhaa juu ya Lowassa, anaandika Ansbert Ngurumo. 
Nitajibu swali moja kwa mifano. Msomaji mmoja amesema: “Tafadhali naomba ujibu swali hili. Mimi ni Mkristo, naamini kauli za viongozi wangu wa dini. Nikiwa mfuasi wa Chadema, nimekuwa mtii kwa kauli na maagizo ya viongozi wangu. Viongozi wangu wakisema jambo hili ni baya, naamini. Niliwaamini Chadema walipotuambia kwamba Lowassa ni fisadi. Sasa walitumia kigezo gani kumpokea na kumteua agombee urais?”
Swali hili lilinikumbusha kauli ya Profesa Lipumba, aliyejivua uenyekiti wa CUF Agosti 2015 “kupinga hatua ya Chadema kumteua Lowassa kuwa mgombea urais kwa
 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU