ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Jamaa ashinda milioni 760 kwa mkeka mmoja.

Wednesday, December 21, 2016

kenya2

Jamaa mmoja nchini Kenya sikukuu ya Christmas imemjia vizuri baada ya kushinda na mkeka wake kwenye kampuni ya Sport Pesa.
Jamaa mwenyewe jina lake ni Peter Byegon ni mfanyakazi wa hotel moja huko Nairobi ameshinda baada ya kupatia tabiri 16 kati ya 17 na kumpa ushindi wa kiasi cha Tsh 768,785,852.
Bwana Peter kama angepatia mechi zote 17 basi angeweza kushinda pesa kubwa ambayo iliyokua imewekwa na Sport Pesa kiasi cha Tsh 3,142,767,782.
Baada ya ushindi huo kampuni ya Sport Pesa ilimtumia gari la kifahari kwenda kumfata na mke wake ili waje kupokea check ya mpunga huo.
Alivyofanya mahojiano na waandishi wa habari bwana Peter alisema,“Nina furaha sana kushinda pesa hizi hasa wakati huu wa sikukuu, Nina mipango mikubwa lakini kwanza nitafanya shopping kidogo ya sikukuu” 
kenya
Jamaa huyu aliwai kujaribu mara mbili na kushindwa zote kwenye SportPesa Mega Jackpot ambayo ilianzishwa mwezi wa 9. Kiasi hicho cha pesa kwenye Mega Jackpot huwa kinaongezeka kila wiki hadi msindi atakapotatikana.
Mara ya mwisho dereva bodaboda aliwahi kushinda kiasi cha Kenya sh milioni 12.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU