ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

OLE SENDEKA TANGAZA VITA NA WABADHIRIFU

Saturday, December 24, 2016



Mkuu wa mkoa wa njombea Christopher Olesendeka  ameuagiza uongozi wa halmashauri ya wilaya wangingo’mbe ikiwemo ofisi ya mkurugenzi kuhakikisha inamchukulia hatua za kisheria mtumishi wa idara ya fedha Edward kigoda kufuatia ubadhirifu wa fedha zaidi ya shilingi milioni 37 ambazo alikiri kuzichukua kinyemela na ameanza kurejesha



Akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa ofisi za utawala na nyumba za watumishi Wilayani humo mkuu wa mkoa amemtaka Kaimu meneja wa wakala wa majengo wa mkoa wa njombe TBA Baziri mwakilao kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya hiyo haraka ambayo ujenzi wake umeanza kuingia dosari


Halmashauri ya wilaya ya wangingombe ilianzishwa mwaka 2012 imefanikiwa kukamilisha ujenzi wa ofisi za mkurugenzi kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 697 ingawa halmashauri hiyo ingali  inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa vyombo vya usafiri.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU