ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbogamo Njombe amepigwa na walimu wake mpaka kupoteza fahamu

Wednesday, October 12, 2016



Siku chache baada ya kuripotiwa kw mwanafunzi kushambuliwa na
kupigwa na walimu katika shule ya mbeya day tukio la aina hiyo limemkuta mwalimu mwingine wa shule ya sekondari Mbogamo ambapo mwanafunzi amepigwa na kulazwa katika hospitali ya mkoa wa njombe.
Mwanafunzi huyo Elizabeth Simfukwe wa kidati cha nne anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 19 inadaiwa kufanyiwa kitendo hicho cha ukatili tangu oktoba 6 mwaka huu ambapo adhabu hiyo ameipata baada ya kukutwa na simu ya mkononi katika begi lake ambayo ni kinyume na sheria ya shule.
Taarifa kamili itakujia hapo baadae

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU