ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Man City kuivaa Real Madrid-UEFA.

Monday, April 25, 2016


Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya hatua ya Nusu fainali inaendelea tena leo ambapo Manchester City watamenyana na
Real Madrid.
Manchester City wataikaribisha Real Madrid katika Mechi hiyo huku wakiwa na pigo kubwa la kumkosa Kiungo wao kutoka Ivory Coast, Yaya Toure.
Katika mchezo mwingine Atletico Madrid na Bayern Munchen watakukutana kesho jumatano Jijini Madrid katika Mechi ya Kwanza ya Nusu ya klabu bingwa barani ulaya uwanja wa Estadio Vicente Calderon
Atletico chini ya Kocha Diego Simeone wanatinga hatua ya Nusu Fainali kwa mara ya pili ndani ya Miaka Mitatu wakati Bayern, ambao sasa wapo chini ya Kocha Pep Guardiola, hii itakuwa ni Nusu Fainali yao ya tano mfululizo, Fainali ya Michuano ya hii itapigwa jumamosi tarehe 28 .

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU