ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

MBALAMAZIWA WALIA NA UONGOZI MBOVU KIJIJI NA KATA

Wednesday, April 6, 2016


wananchi wa kijiji cha mbalamaziwa wilaya ya mufindi mkoani iringa wamelaani vitendo wanavyotendewa na uongozi wa kijiji na kata kuapa kuto kukubali kuendelea kuongozwa nao kwa madai kuwa wanadumaza kasi ya maendeleo kijijini hapo 

ZAIDI NA PROSPER MFUGALE KUTOKA MBALAMAZIWA MUFINDI


wananchi wa kijiji cha mbalamaziwa Wanaeleza baadhi ya mambo yanayo wakera dhidi ya viongozi wa serikali kuwa ni pamoja na kitendo cha uongozi huo kuuza mradi wa maji kwa kampuni ya wachina wanaotengeneza barabara ya iringa mbeya  kijijini hapo mradi ambao ulikuwa unanufaisha vijiji zaidi ya sita na sasa vijiji hivyo vinakosa maji

Pia wamesema kuwa mara nyingi uongozi umekuwa ukiwatoza faini pamoja na kuwabambikizia kesi kupitia ofisi za kijiji kata na kituo cha polisi malangali pindi wanapo hoji matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo


Mgeni sakalinga, charles mhumbi, na sharifu utenga ni miongoni mwa wananchi ambao wameeleza vitendo vya ukatili wanavyo fanyiwa na uongozi wa kijiji na kata ya mbalamaziwa

  
Mtendaji wa kijiji Steeven lumato na Elizabert ngwaeje afisa mtendaji wa kata wamaeeleza sababu za wananchi kuwakana 

Jitihada za kumpata mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya mufindi Saada Malunde na uongozi wa wilaya Kutolea ufafanuzi malalamiko ya wananchi kuhusu watendaji hao bado zinaendelea 

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU