ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

FIFA LISTI YA BORA DUNIANI: ARGENTINA YAKAA 1, TANZANIA YASHUKA 5 IPO 130!

Thursday, April 7, 2016

MESSI-ARGE-AVUA-MEDALI-FB

FIFA Leo imetoa Listi mpya ya Ubora Duniani na Argentina wamekamata Namba 1 kwa kuishusha Belgium iliyokamata Namba 2.
Tanzania imeporomoka Nafasi 5 na sasa ipo ya 130.
Kwa Afrika, Nchi ya juu ni Algeria ambayo iko Nafasi ya 33 baada ya Cape Verde kuporomoka Nafasi 16 na kukamata Nafasi ya 47.
Inayofuatia kwa Arika ni Ivory Coast iliyo Nafasi ya 34.
Mabingwa wa Dunia Germany wapo Nafasi ya 5.
Listi nyingine ya Ubora Duniani itatolewa Mei 5.
10 BORA:
1 ARGENTINA
2 BELGIUM
3 CHILE
4 COLOMBIA
5 GERMANY
6 SPAIN
7 BRAZIL
8 PORTUGAL
9 URUGUAY
10 ENGLAND

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU