ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

RONALDO AONGOZA USHINDI WA URENO VS BELGIUM

Wednesday, March 30, 2016

Cristiano 7

Cristiano Ronaldo kwa mara nyingine alikuwa kwenye kiwango cha juu baada ya kuisaidia timu yake ya taifa kupata ushindi wa magoli 2-01 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Ubelgiji uliopigwa Jumanne usiku.
Ndani ya dakika 10 za kwanza, Ronaldo alifanya shambulio la hatari lililomuacha hoi beki wa Ubelgiji Jason Denayer.
Ronaldo alitengeneza nafasi mbili za kupachika bao laikini timu yake ilishindwa kufanya hivyo kutokana na uimara wa golikipa wa Chelsea na timu ya taifa ya Ubelgiji Thibaut Courtois.
Hatimaye Ureno ilipata bao dakika ya 20 lililofungwa na Nani kabla ya Cristiano Ronaldo kupachika bao la pili dakika tano kabla ya kwenda mapumziko.
The Real Madrid superstar headed home from a João Mário cross and celebrated in typical style.
Cristiano 71
Superstar huyo wa Real Madrid alifunga bao lake kwa kichwa akiunganisha krosi ya João Mário kisha kushangilia kwa style ya aina yake. Hilo ni bao la 47 kwa Cristiano Ronaldo msimu huu.
Romelu Lukaku aliifungia Ubelgiji goli la kufutia machozi akiunganisha kwa kichwa krosi ya mdogoake Jordan Lukaku.
Lukaku Jordan

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU