ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

MSANII WA NYIMBO ZA DINI AFANYIWA KITU MBAYA.

Wednesday, March 16, 2016



Ndugu watanzania na wote wanaofuatilia kazi zangu nasikitika kuwajulisha kuwa kuna Jennifer Mgendi feki kaibuka Facebook kafungua akaunti kwa jina langu kachukua na picha zangu ambazo zinapatikana mtandaoni kaziweka kwenye akaunti yake ili kuwaaminisha watu kuwa ni Jennifer Mgendi.

Mtu huyu ambaye naamini hana lengo lingine zaidi ya kunichafua amekuwa akipost vitu anavyojua mwenyewe na kuwasiliana na watu mbalimbali ambao baadhi wamekuwa wakinipigia kufuatilia mambo ''tuliyoongea facebook''!! 

Cha ajabu amekuwa akiwapa namba yangu ya simu ambayo ipo kwenye cd zangu ili kufanya watu wazidi kuamini kuwa wanachat na Mimi.

Napenda kuujulisha umma kuwa sipo Facebook wala sichat na mtu yoyote Facebook. Mawasiliano ninayotumia ni ya simu ya mkononi na email kama zinavyoonekana kwenye dvd zangu.

Kwa ujumbe huu natoa onyo kwa mtu huyo kuacha mara moja kwani mamlaka husika inalifanyia kazi jambo hili na hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU