ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Matokeo ya uchaguzi wa awali yanashangaza Marekani

Thursday, March 10, 2016

Mgombea wa urais wa Marekani, Bernie Sanders.

Uchunguzi wa maoni ya wapiga kura ulionesha Hillary Clinton atapata ushindi kwa urahisi jimbo la Michigan, lakini Sanders alimshinda akipata asilimia 50 ya kura.
Seneta wa Vermont Bernie Sanders amepata ushindi usiotarajiwa katika uchaguzi wa awali jana wa chama cha Demokrat katika jimbo la kaskazini la Michigan.
Kura za maoni ya wapiga kura zimeonesha kuwa waziri wa zamani wa mambo ya nje, Hillary Clinton, atapata ushindi kwa urahisi katija jimbo la Michigan, lakini Sanders alimshinda kwa asilimia 50 ya kura.
Sanders alisema ushindi wa Michigan unamaanisha mapinduzi ya kisiasa yana nguvu kote nchini na kwamba anaamini maeneo ambayo kampeni yake ina nguvu ni yale ambayo bado hayajapiga kura.
Clinton alishinda kiurahisi uchaguzi mwingine uliofanyika hiyo hiyo Jumanne katika jimbo la kusini la Mississippi.
Pia Donald Trump wa chama cha Republikan aliongeza ushindi wake katika majimbo ya Michigan, Mississippi na Hawaii.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU