ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Ajali ya Matumbi yaua wanne

Wednesday, March 9, 2016



WATU wanne wamethibitishwa kufa baada ya kutokea ajali mbaya maeneo ya Al hamza jirani na daraja la Tabata Matumbi.
Miongoni mwa  waliokufa ni Godfrey Nyawenga na wengine watatu bado kutambuliwa.
Aidha majeruhi  25 akiwamo mtoto wa mwaka mmoja walipatikana na watu watano wako katika hali mbaya na wamekimbizwa Muhimbili kutoka hospitali ya amana akiwamo mtoto wa mwaka mmoja.
Ajali hiyo mbaya  kabisa ilihusisha magari matatu likiwemo Dalalada ya abiria linalofanya safari zake kati ya Gongo la Mboto kwenda Ubungo,  lori la mchanga na lori la ng’ombe. 
Inaelezwa kuwa, Chanzo cha ajali hiyo, ni Lori lililobeba Mchanga ambalo liliikuwa kwenye mwendo kasi, kwenda kuligonga Daladala hilo kwa nyuma, hali iliyopelekea Daladala hilo kukosa mwelekeo na kwenda kugonga na Lori lingine lililokuwa limebeba ng'ombe waliokuwa wakipelekwa Pugu Mnadani.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU