ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

VICOBA WAENDELEA KUTAPELI NJOMBE WANANCHI WAFIKISHA KILIO KWA WAZIRI JENISTA MHAGAMA

Friday, March 11, 2016


Image result for njombe

Serikali imesema inakusudia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana mkoani njombe kwa kufanya maandalizi ya vijana kuchukua fursa za ajira katika migodi ya makaa ya mawe na chuma wilayani ludewa ambayo inakadiriwa kutoa fursa ya ajira kwa wazawa zaidi ya elfu 30

Kauli hiyo imetolewa na waziri wa sera bunge kazi vijana ajira na walemavu mjini njombe Jenista mhagama wakati akizungumza na makundi mbalimbali ya vijana wakiwemo madereva bodaboda ambapo amezitaka halmashaurizote za wilaya kufungua saccos kwaajili ya kuwakopesha vijana kupitia mapato ya ndani na mfuko wa maendeleo ya vijana

waziri mhagama Amesema kuwa serikali inataraji kuinua uchumi wa wananchi wa kipato cha chini na itahakikisha vijana wanapata mikopo kwa masharti nafuu ili waweze kujiajiri huku akiwekea mfano kundi kubwa la madereva wa bodaboda ambao wakiwezeshwa wanaweza kumiliki pikipiki zao

Katika mkutano huo Amepokea malalamiko kutoka kwa wanachama wa kikundi cha vikoba Mkoa wa njombe kupitia mratibu wao BW Betram  Ngimbuchi ambao wanaonekana kutapeliwa na muasisi wa vicoba Hapa nchini wanamuomba waziri kuwasaidia waweze kurejeshewa fedha zao ambazo ziko hatarini kupotea

Pamoja kuahidi kulifanyia kazi Sakata hilo  waziri jenista amemuagiza mkuu wa mkoa pamoja na wakurugenzi kufuatilia fedha za wananchi hao zirudishwe mara moja na kueleza kuwa serikali imeanzisha utaratibu mwingine wa kusimamia mfumo wa vikoba humu nchini ambapo wanachama watapatiwa mikopo kupita bank ya posta na sio appex

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU