ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Makasha 18 ya sukari yakamatwa Mombasa

Wednesday, February 3, 2016



Mapipa ya Ethanol yakimwagwa baharini
Makasha 18 ya sukari yaliokamatwa katika bandari ya Mombasa yakielekea Uganda yamefunguliwa na sukari hiyo kumwagwa baharini.
Mamlaka ya ushuru nchini Kenya imesema kuwa bidhaa hiyo haikulipiwa na kwamba haikuwa bora kwa afya ya binaadamu.
Kulingana na na taarifa iliotiwa saini na kamishna wa mamlaka hiyo John Njiraini, Mamlaka hiyo pia imekamata makasha mengine 63 yaliojaa mapipa ya Ethanol.
Magunia ya sukari yakimwagwa baharini bandarini Mombasa
Njiraini amesema kuwa vita dhidi ya biashara haramu vitaimarishwa kwa lengo la kuhakikisha kuwa wenye biashara hizo wanashtakiwa.
Mwandishi wetu alishuhudia mapipa hayo ya Ethanol iliokuwa ikitoa harufu mbaya yakimwagwa baharini.
Wafanyikazi wanasema kuwa wana mpango wa kupunguza ukali wa mafuta hayo ya Ethanol kabla ya kuyamwaga baharini.
Mapipa ya Ethanol
Ethanol hutumiwa kutengeneza pombe.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU