ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

OKTOBA MOSI NI SIKU YA MATUKIO KIBAO IKIWEMO TUKIO LA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE DUNIANI

Friday, September 23, 2016


Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimebaki siku nane kufikia Oktoba Mosi ambayo imetangazwa kuwa siku ya kupanda miti, Shirika la
Kimataifa la Kutetea Haki za Wazee (HelpAge International) limekumbushia kuwa siku hiyo pia huadhimishwa kama siku ya wazee duniani. 

Meneja miradi wa shirika hilo, Joseph Mbasha amesema kuwa kitaifa mwaka huu maadhimisho hayo yatafanyika Mbarali mkoani Mbeya kwa upande wa Tanzania bara na kwa Zanzibar yatafanyika visiwani Pemba. 

Mbasha amesema maadhimisho ya siku ya wazee duniani ambayo hufanywa Oktoba Mosi kila mwaka kote duniani yanalenga kutambua mchango wa wazee na kwamba siku hiyo ni muhimu kwao. 

Amesema katika maadhimisho ya mwaka huu wataangazia mambo mbalimbali hasa changamoto zinazowakabili wazee nchini.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU