ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Mwigulu Nchemba Atoa Suluhu ya "Watu Wasiojulikana

Saturday, September 30, 2017


Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu  Nchemba amesema kutengeneza mioyo yenye maadili  mema kwa wazazi, watoto na jamii kwa ujumla ni miongoni mwa suluhisho la kudumu la jamii kutokuwa na

Rose Tweve kuhusu matarajio ya Bajeti Kuu 2017/18

Saturday, June 17, 2017



Kubwa linaloendelea Bungeni Dodoma ni Wabunge kuendelea kuchangia mapendekezo yao katika Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti Kuu ya

Trump akiri kwamba anachunguzwa Marekani

Donald TrumpHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionDonald Trump amekana tuhuma kwamba maafisa wake walishirikiana na maafisa wa Urusi
Rais wa Marekani Trump amethibitisha kwamba anachunguzwa yeye binafsi kutokana na hatua yake ya kumfuta kazi mkuu wa Shirika la Uchunguzi wa Jinai la Marekani FBI James Comey.
Kupitia Twitter, Bw Trump amekariri kwamba uchunguzi unaoongozwa na

Emanuele Palladino:Muacheni Tiote apumzike

Tiote aling'ara vyema akiwa Newcastle
Image captionTiote aling'ara vyema akiwa Newcastle
Wakala wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya soka ya Ivori Coast na klabu ya Beijing Enterprises nchini China, Cheick Tiote aliyefariki dunia wiki iliyopita Emanuele Palladino amewataka waandishi wa

Cristiano Ronaldo 'anataka kuihama' Real Madrid juu ya kodi

Cristiano Ronaldo

Nyota wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo amekereka sana baada ya tuhumiwa kwamba alifanya ulaghai wakati wa ulipaji ushuru na anataka kuihama klabu hiyo, duru zimeiambia BBC.
Waendesha mashtaka nchini Uhispania wanamtuhumu Ronaldo, 32, kwa kutumia ulaghari kutolipa mamilioni ya

RAIS MAGUFULI KUOMBEWA DUA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO



Rais Dk John Magufuli.

Na Juma Mtanda, Morogoro.
Viongozi mbalimbali wa dini, vyama vya siasa na serikali wanatarajia kukusanyika kwenye ibada maalumu ya kumuombea dua njema, Rais Dk John Magufuli kutokana na hatua anazochukua dhidi ya wabadhirifu wa rasilimali za nchi inayofanyika leo saa 4 asubuhi uwanja wa

RAIS DK. MAGUFULI NA MZEE MKAPA WASALI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU LEO, JIJINI DAR ES SALAAM Amazing Offers: http://bit.ly/cheap_gadgets

Wednesday, March 1, 2017


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Ibada ya Jumatano ya Majivu pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI USU KWA WAHIFADHI WA WANYAMAPORI 103

Wednesday, February 1, 2017


Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi ( katikati) akizungumza na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu TANAPA, Mtango Mtaiko ( wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na Mkufunzi wa Mafunzo wa TANAPA, John Nyamhanga mara baada ya

AWAMU YA TANO YA RAIS MAGUFULI YAZIDI KUPIGA HATUA BOTI MPYA YA AZAM YAFUNGULIWA LEO RASMI!!

Image may contain: one or more people and people sitting
Leo ulikuwa ni Uzinduzi wa Boat mpya ya

BALAA LINGINE MCHANA HUU:.ADA ZA SHULE MUHULA MPYA PASUA KICHWA HII HAIJAWAHI KUTOKEA

Friday, January 6, 2017


NI pasua kichwa! Utaratibu mpya wa kulipa ada katika baadhi ya shule za binafsi nchini unaelekea kuwachanganya wazazi kutokana na ongezeko la kiwango cha malipo huku wamiliki wakidai kuwa hawana namna kwakuwa wanatimiza agizo la Serikali kuhusiana na vipindi vya muhula wa masomo 
Uchunguzi wa Nipashe uliohusisha mahojiano na wadau kadhaa wakiwamo wazazi na

Govt now to introduce real estate industry watchdog

Thursday, January 5, 2017

http://www.tanzaniabase.com/2017/01/govt-now-to-introduce-real-estate.html

  • Under the envisaged new law, a formal regulatory body will among other things help eliminate unregistered property developers, brokers and agencies linking landlords and tenants
The government is in the process of setting up a suitable framework for

Mwaka mpya umekuja na uongozi mpya Umoja wa Mataifa

Monday, January 2, 2017

Antonio Guterres, katibu mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa.

Guterres ameahidi kufanya kazi na uongozi wa Trump ingawaje kumekuwepo na msuguano na atajaribu kushirikiana katika kuondoa "changamoto mbali mbali" ambazo Marekani na Umoja wa Mataifa zitakabiliana nazo siku za usoni.
Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres tayari ameshachukua madaraka ya

LOWASSA:TRUMP NI MWAMBA KWELI KWELI....SITAKI KUSEMA SANA,SIKU HIZI NAPIGA SIASA ZA KIMATAIFA"



WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewapongeza raia wa Marekani kwa kumchagua Donald Trump kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

Kwa mujibu wa Lowassa, Trump atakuwa rais mwenye kufanya uamuzi mgumu kwa kuwa ni shupavu na

RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA MAENEO YALIOATHIRIKA NA TETEMEKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI IHUNGO MKOANI KAGERA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke (kushoto) wakiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo mkoani Kagera. Shule hiyo inajengwa upya kufatia kuathirika na tetemeko la

VYAKULA VINAVYOONGEZA KINGA YA MWILI


Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tufanye ili kuiongeza hiyo kinga ndani ya miili yetu. Suala la kuimarisha na kuiongeza kinga ya mwili linapaswa kuwa ni jambo endelevu la kila siku.
Hakuna dawa au chakula cha kula siku moja na kuponya tatizo la kushuka kinga ya mwili milele. Kinga ya mwili huongezeka ama kupungua kila siku kutegemea na umekula nini, umekunywa nini au hali ya ubongo wako kwa ujumla ipoje kwa siku hiyo, mathalani kama umeshinda una hasira hasira tu kutwa nzima lazima na kinga yako itapungua.
Mwili ulibuniwa na Mungu uweze kujitibu wenyewe bila kuhitaji DAWA YOYOTE. Ulivyo ni vile unavyokula na kunywa.
 Shida ni kuwa watu wengi hatujui tule nini kwa ajili ya nini, mara nyingi tunakula ili tushibe na wengine tunakula kwa kuongozwa na tamaa tu, hatuli chakula kwa mwongozo 
Fanya chakula kiwe ndiyo dawa zako na dawa zako ziwe ni chakula unachokula. Kinga yako inapokuwa na nguvu ya kutosha huwezi kuugua ugonjwa wowote kirahisirahisi.
 
Vifuatavyo ni vyakula 14 vinavyoweza kukusaidia kuongeza kinga ya Mwili wako:
1. MTINDI (yoghurt)
Hutengenezwa kwa kutumia maziwa ya ng’ombe na kimea, hupatikana kwa ladha mbalimbali kulingana na

KUMBE HIKI NDICHO KILICHOMPONZA KIGOGO WA TANESCO KUTUMBULIWA NA RAIS MAGUFULI?


HATUA ya Shirika la Umeme ya kupandisha bei ya umeme bila kushirikisha mamlaka nyingine za Serikali, zimemgharimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo Felchesmi Mramba, ambaye jana amefutwa kazi na Rais John Magufuli.
Kabla ya kutengua uteuzi wa

Alichokizungumza kocha wa Simba baada ya ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Taifa Jang’ombe

Sunday, January 1, 2017



January 1 2016 timu ya Simba ilicheza mchezo wake wa

Umeme hakuna kupanda, majipu bado yapo na nitayatumbua’ Rais Magufuli


January 1 2016 Rais Dk. John Pombe Magufuli alishiriki katika ibada ya mwanzo wa mwaka mpya 2017 na waamin wa kanisa katoliki Bukoba Cathedro ikiwa ni mojawapo ya ratiba yake katika ya siku mbili mkoani Kagera iliyoanza leo ambapo katika hotuba yake amesisitiza hatua ya serikali kuzuia ongezeko la gharama za umeme.
Rais Magufuli amesema
 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU