ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Emanuele Palladino:Muacheni Tiote apumzike

Saturday, June 17, 2017

Tiote aling'ara vyema akiwa Newcastle
Image captionTiote aling'ara vyema akiwa Newcastle
Wakala wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya soka ya Ivori Coast na klabu ya Beijing Enterprises nchini China, Cheick Tiote aliyefariki dunia wiki iliyopita Emanuele Palladino amewataka waandishi wa
habari na wadau wa soka kuacha kujadili kifo cha mchezaji huyo.
Tiote alianguka ghafla wakati akifanya mazoezi na klabu yake ya Beijing Enterprises
Image captionTiote alianguka ghafla wakati akifanya mazoezi na klabu yake ya Beijing Enterprises
Ametoa wito na kusisitiza kuwa huu ni wakati wa kuungana na familia ya mchezaji huyo katika maombolezo na kuacha kuendelea kuhoji kifo cha mchezaji huyo.
Mwili wa Tiote unasafirishwa leo kuelekea Ivory Coast
Image captionMwili wa Tiote unasafirishwa leo kuelekea Ivory Coast
Tiote aliagwa siku ya Jumanne na mwili wake ukitarajiwa kurejeshwa nyumbani siku ya leo tayari kwa mazishi.
Papiss Cissé alishindwa kujizuia wakati wa kumuaga Tiote
Image captionPapiss Cissé alishindwa kujizuia wakati wa kumuaga Tiote
Cheick Tiote aliichezea nchi yake mara 52 na kuisaidia kunyakua taji la bara Afrika 2015.

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU