ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

BALAA LINGINE MCHANA HUU:.ADA ZA SHULE MUHULA MPYA PASUA KICHWA HII HAIJAWAHI KUTOKEA

Friday, January 6, 2017


NI pasua kichwa! Utaratibu mpya wa kulipa ada katika baadhi ya shule za binafsi nchini unaelekea kuwachanganya wazazi kutokana na ongezeko la kiwango cha malipo huku wamiliki wakidai kuwa hawana namna kwakuwa wanatimiza agizo la Serikali kuhusiana na vipindi vya muhula wa masomo 
Uchunguzi wa Nipashe uliohusisha mahojiano na wadau kadhaa wakiwamo wazazi na

Govt now to introduce real estate industry watchdog

Thursday, January 5, 2017

http://www.tanzaniabase.com/2017/01/govt-now-to-introduce-real-estate.html

  • Under the envisaged new law, a formal regulatory body will among other things help eliminate unregistered property developers, brokers and agencies linking landlords and tenants
The government is in the process of setting up a suitable framework for

Mwaka mpya umekuja na uongozi mpya Umoja wa Mataifa

Monday, January 2, 2017

Antonio Guterres, katibu mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa.

Guterres ameahidi kufanya kazi na uongozi wa Trump ingawaje kumekuwepo na msuguano na atajaribu kushirikiana katika kuondoa "changamoto mbali mbali" ambazo Marekani na Umoja wa Mataifa zitakabiliana nazo siku za usoni.
Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres tayari ameshachukua madaraka ya

LOWASSA:TRUMP NI MWAMBA KWELI KWELI....SITAKI KUSEMA SANA,SIKU HIZI NAPIGA SIASA ZA KIMATAIFA"



WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewapongeza raia wa Marekani kwa kumchagua Donald Trump kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

Kwa mujibu wa Lowassa, Trump atakuwa rais mwenye kufanya uamuzi mgumu kwa kuwa ni shupavu na

RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA MAENEO YALIOATHIRIKA NA TETEMEKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI IHUNGO MKOANI KAGERA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke (kushoto) wakiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo mkoani Kagera. Shule hiyo inajengwa upya kufatia kuathirika na tetemeko la

VYAKULA VINAVYOONGEZA KINGA YA MWILI


Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tufanye ili kuiongeza hiyo kinga ndani ya miili yetu. Suala la kuimarisha na kuiongeza kinga ya mwili linapaswa kuwa ni jambo endelevu la kila siku.
Hakuna dawa au chakula cha kula siku moja na kuponya tatizo la kushuka kinga ya mwili milele. Kinga ya mwili huongezeka ama kupungua kila siku kutegemea na umekula nini, umekunywa nini au hali ya ubongo wako kwa ujumla ipoje kwa siku hiyo, mathalani kama umeshinda una hasira hasira tu kutwa nzima lazima na kinga yako itapungua.
Mwili ulibuniwa na Mungu uweze kujitibu wenyewe bila kuhitaji DAWA YOYOTE. Ulivyo ni vile unavyokula na kunywa.
 Shida ni kuwa watu wengi hatujui tule nini kwa ajili ya nini, mara nyingi tunakula ili tushibe na wengine tunakula kwa kuongozwa na tamaa tu, hatuli chakula kwa mwongozo 
Fanya chakula kiwe ndiyo dawa zako na dawa zako ziwe ni chakula unachokula. Kinga yako inapokuwa na nguvu ya kutosha huwezi kuugua ugonjwa wowote kirahisirahisi.
 
Vifuatavyo ni vyakula 14 vinavyoweza kukusaidia kuongeza kinga ya Mwili wako:
1. MTINDI (yoghurt)
Hutengenezwa kwa kutumia maziwa ya ng’ombe na kimea, hupatikana kwa ladha mbalimbali kulingana na

KUMBE HIKI NDICHO KILICHOMPONZA KIGOGO WA TANESCO KUTUMBULIWA NA RAIS MAGUFULI?


HATUA ya Shirika la Umeme ya kupandisha bei ya umeme bila kushirikisha mamlaka nyingine za Serikali, zimemgharimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo Felchesmi Mramba, ambaye jana amefutwa kazi na Rais John Magufuli.
Kabla ya kutengua uteuzi wa

Alichokizungumza kocha wa Simba baada ya ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Taifa Jang’ombe

Sunday, January 1, 2017



January 1 2016 timu ya Simba ilicheza mchezo wake wa

Umeme hakuna kupanda, majipu bado yapo na nitayatumbua’ Rais Magufuli


January 1 2016 Rais Dk. John Pombe Magufuli alishiriki katika ibada ya mwanzo wa mwaka mpya 2017 na waamin wa kanisa katoliki Bukoba Cathedro ikiwa ni mojawapo ya ratiba yake katika ya siku mbili mkoani Kagera iliyoanza leo ambapo katika hotuba yake amesisitiza hatua ya serikali kuzuia ongezeko la gharama za umeme.
Rais Magufuli amesema
 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU