ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Mavoko, Alikiba, Juma Nature na wengine kuchuana kwenye mechi ya soka na watangazaji wa EFM Jumapili hii

Thursday, June 30, 2016

Rich Mavoko, Alikiba na Juma Nature ni miongoni mwa mastaa wa Bongo Flava watakaochuana kwenye mtanange wa soka Jumapili hii dhidi ya watangazaji wa kituo cha redio cha EFM.
Mechi
Mechi hiyo itachezwa Jumapili hii, June 26 kuanzia saa kumi jioni kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.
Wasanii wengine watakaovaa jezi za Bongo Flava kwenye mechi hiyo ni pamoja na
Tunda Man, M2thaP, Rich-One, Soggy Doggy, Kalapina, Jeby, Abdu Kiba, Inspector Haroun, H-Baba na KR Muller.
Wachezaji wa ziada ni pamoja na Suma G, Ally Com, Stamina, Afande Sele, Jay Moe, Mansu- Li na Young Killer huku makocha wa timu ya Bongo Flava wakiwa ni waheshimiwa Profesa Jay na Said Fella.
Kwa upande wa timu ya EFM, watakaokuwepo ni pamoja na Maulid Kitenge, Ibrahim Masoud (Maestro), Denis Ssebo, Omari Katanga na Swebe Santana.
“Lengo kubwa ni kukuza zaidi urafiki ambao upo kati yetu na kuimarisha mahusiano pamoja na kufahamiana zaidi,” wamesema EFM.
“Pia ni njia moja wapo ya kuimarisha afya zetu kama moja ya mazoezi.”

No comments:

Post a Comment

 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU