ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

FURSA YA KUJIPATIA KIPATO KWA MWENYE KUHITAJI FUNGUA LINK HII

Saturday, November 26, 2016

http://Youthnize.com/?ref=385231

KICHUYA AMFUATA SAMATTA UBELGIJI

Tuesday, November 15, 2016












Tetesi za usajili dirisha hili mmmmh ! Kweli biashara itafanyika . Yaani kama  crew ya

Simba yawadaka wachezaji wanayoiangusha timu

Monday, November 14, 2016

mavugo-benchi-simba-bongosoka
Klabu  ya  wekundu wa msimbazi , Simba imesema kuwa imewabaini wachezaji wake waliocheza chini ya kiwango hadi timu hiyo kupoteza mechi mbili mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ambayo tangu kuanza kwa

Madini mapya yagunduliwa Mererani, Tanzania

Wednesday, November 2, 2016

'Masharubu' ya madini ya Merelaniite
Madini mapya yamegunduliwa nchini Tanzania, katika eneo lenye madini ya kipekee la Manyara, na kupewa jina Merelaniite.
Jina hilo limetokana na eneo ambalo madini hayo yalipatikana, Merelani (Mererani) katika milima ya Lelatema katika wilaya ya Simanjiro katika eneo la Manyara.
Eneo hilo linafahamika sana kwa madini ya

WAZIRI MKUU MSTAAFU LOWASSA WALIVYOKIMBIANA NA MFUASI WAKE WA KARIBU SANA BUNGENI JANA SOMA HAPA LIVE!!


MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba, jana alikwepa kusalimiana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa mjini Dodoma. Lowassa ambaye alikuwa ameandamana na Waziri Mkuu mstaafu, Fredereck Sumaye na

UN NA EU ZATOA EURO LAKI NANE KUSAIDIA WATOTO WA KIKE

Shirika la Umoja wa Mataifa la UN kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) wametoa Euro laki nane kuwasaidia watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu na wahanga wa mimba za utotoni waishio kwenye kituo cha Faraja Young Women Development Unit .

Mwakilishi wa EU ambaye ni Afisa Miradi Anna Muro amesema kuwa msaada huo utasaidia kuwawezesha wanawake Waweze kushiriki kwenye maendeleo ya jamii .

Akizungumza katika kituo hicho kinacholelea watoto 30 wenye watoto ambao walipata mimba katika umri mdogo na kushindwa kuendelea na masomo ambapo wanasaidiwa na kituo hicho kupata elimu ya ufundi wa ushonaji na mapishi ili kupata stadi zitakaowasaidia kujikwamua kimaisha.
Mwasisi wa Shirika la Faraja Young Women Development, Martina Simon Siara akitoa maelezo kwa
 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU