ECKROS SCHOOL OF JOURNALISM

eckroscollege. Powered by Blogger.

Blogroll

About

Habari za Mahusiano Kila siku

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

JOURNALISM STUDENTS AT ETC COLLEGE

ETC RADIO ONLINE LIVE

http://wwweckrosnewsblogspo.radio12345.com/

Rais Magufuli Akamilisha Baraza la Mawaziri, Amteua na Boss wa TRA

Thursday, December 24, 2015



Rais John Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa mawaziri na naibu waziri alizobakiza wakati akitangaza Baraza la Mawaziri la kwanza la Serikali ya Awamu ya Tano.

Katika taarifa iliyotolewa jana usiku na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, walioteuliwa ni Profesa Jumanne Maghembe ambaye anakuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Gerson Lwenge kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Dk Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.

Katika uteuzi huo, Rais Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya Baraza hilo kwa kumhamisha Profesa Makame Mbarawa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwenda Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Pia, amemteua Hamad Masauni kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.


Mawaziri wapya

Kabla ya uteuzi huo, Profesa Maghembe ambaye ni Mbunge wa Mwanga, alikuwa Waziri wa Maji katika Serikali iliyopita akiwa pia amewahi kuongoza wizara hiyo ya maliasili. Nyingine alizowahi kuongoza ni Kazi na Ajira na Elimu.

Mhandisi Lwenge ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Magharibi, alikuwa Naibu Waziri wa Ujenzi akifanya kazi chini ya Dk Magufuli katika Serikali iliyopita.

Dk Mpango ambaye pia ameteuliwa kuwa mbunge, hivi karibuni aliteuliwa na Dk Magufuli kuwa kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baada ya kumsimamisha kazi, Rished Bade kutokana na kashfa ya upotevu wa makontena katika Bandari ya Dar es Salaam.

Kama ilivyokuwa kwa Dk Mpango, Dk Ndalichako ambaye pia ameteuliwa kuwa mbunge aliwahi kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta).



Maoni ya wadau

Akizungumzia uteuzi huo, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema kitendo cha Rais Magufuli kumhamishia wizara nyingine Profesa Mbarawa kunadhihirisha jinsi alivyokosa utulivu katika uteuzi.

Alisema ili nchi iweze kusonga mbele, inahitaji iwe na mfumo imara wa utawala ambao hauwezi kupatikana kama nchi haitakuwa na Katiba Mpya, kanuni na taratibu nzuri.

“Mawaziri wameteuliwa Desemba 10 na kuapishwa siku mbili baadaye. Leo (jana) ni siku ya 13 tangu wateuliwe tayari waziri mmoja amehamishwa wizara.”

“Dk Magufuli akitaka kuongoza nchi arudi katika msingi wa kubadili mfumo. Kasi ya mabadiliko ya dunia hatuwezi kwenda nayo sambamba kama tutaendelea kuwa na mfumo mbovu,” alisema Mbatia.

Profesa wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Kitila Mkumbo alisema kama kuna jambo Dk Magufuli amepatia, ni kumteua Dk Ndalichako.

“Ndalichako ni mzoefu na amekuwa katika sekta ya elimu kwa muda mrefu sana. Wizara hii imepata mtu sahihi na mwerevu maana kwa muda mrefu imekuwa ikipata watu ambao hawakuwa makini,” alisema.

Mhadhiri wa UDSM, Richard Mbunda aliungana na Mbatia, lakini akisisitiza kuwa uteuzi wa Rais unaonyesha jinsi CCM inavyokosa watu anaoweza kwenda na kasi yake.

“Ukitizama utabaini kuwa ameteua watu kuwa wabunge na kuwapa wizara nyeti. Hii inaonyesha kuwa ndani ya CCM kwa sasa wanakosekana watu ambao Dk Magufuli anawahitaji, kwa maana ya wachapakazi na watakaokwenda na kasi yake,” alisema.

Mbunda alipongeza uteuzi wa Dk Ndalichako kutokana na uzoefu wake katika sekta ya elimu.


Bosi mpya TRA

Kutokana na uteuzi wa Dk Mpango, Rais Magufuli amemteua Alphayo Kidata kuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA. Kabla ya uteuzi huo, Kidata alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

TANESCO YAAGIZWA KUKAMILISHA MIUNDO MBINU YA KUSAMBAZA UMEME JIJINI DAR ILI KUPUNGUZA TATIZO LA UMEME Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu



Serikali imeliagiza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kukamilisha mradi wa kukuza miundo mbinu ya kusafirisha umeme  unaosimamiwa na Kampuni ya kutengeneza vipozeo(Transformer) ya Italy (SAE) ili kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika. Agizo hilo limetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kaleman katika ziara yake ya kutembelea mradi huo katika vituo vya Mbagala, Kurasini , Gongo la Mboto na kipawa. Amesema kuwa ni vema hadi kufikia Februari mwakani Tanesco wawe wamekamilisha mradi huo na wananchi waweze kupatiwa huduma ya umeme haraka iwezekanavyo. Aidha Dkt. Kalemani aliagiza kuwa kutokana na kesi ya fidia  ya wananchi wote ambao wameondolewa kwenye maeneo yao ili kupisha mradi huo  ni vema wawe wamelipwa kufika Januari 2016. Akitoa maelezo kwa Naibu Waziri huyo ,Meneja Mradi wa Tanesco Mhandisi Frank Mashalo amesema kuwa kulingana na mkataba walioingia na Kampuni ya SAE mradi huo ulipaswa kukamilika kwa kipindi cha miezi 18 lakini bado haujakamilika kutokana na vikwazo mbalimbali ikiwemo sakata la fidia na kuchelewa kwa vipozeo vya umeme  kufika kwenye vituo hivyo. Ameongeza kuwa jumla ya dola milioni 34.252 zinatarajiwa kutumika ili kukamilisha mradi huo ambapo kati ya hizo tayari Dola milioni 28 zimeshalipwa.

CHADEMA HAPAKALIKI NA HII NDO HATIMA YA KATIBU MKUU

Wednesday, December 23, 2015


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinafanyia kazi uteuzi wa Katibu Mkuu wa chama hicho kufuatia aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Dk. Willbrod Slaa kujivua wadhifa huo baada ya kujitoa kwenye siasa za vyama.

Pamoja na kutokuwa tayari kumtaja mrithi wa Dk. Slaa, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe anatarajiwa kuteua jina la mwananchama ambaye atashika wadhifa huo.

Katika majina yanayochomoza miongoni mwa wana-CHADEMA kushika mikoba hiyo ni jina la Waziri Mkuu mstaafu wa awamu ya tatu, Frederick Sumaye na aliyekuwa mgombea mwenza wa CHADEMA, akiungwa mkono na UKAWA, Duni Juma Haji maarufu kama "Babu Duni'.

Duru za kisiasa zinaeleza kuwa uamuzi wa hivi karibuni wa Frederick Sumaye kujiunga na CHADEMA ni moja katika mchakato mzima wa kumwezesha kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya juu katika utendaji katika CHADEMA. 
 
Chama hicho kinaona haja ya kumpa wadhifa huo Sumaye ili aendelee kuwepo katika medani za kisiasa na hivyo kumweka katika haiba nzuri ya kuendelea kuwa mpiga debe wa CHADEMA katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na chaguzi zote ndogo zitakazojitokeza kufuatia rufani za wagombea ubunge wa CHADEMA waliokata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika okroba 25, 2015.

Kwa upande wa Duni Juma Haji, ambaye awali alisemekana kuwa na mpango wa kurudi CUF ambako anadaiwa kuwa na kazi maalum, ameendelea kuwepo CHADEMA kimahesabu kwa matarajio kwamba endapo Seif Sharrif Hamad atafanikiwa kuwa Rais wa SMZ basi Babu Duni atafaa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ili kudumisha mahusiano kati ya CHADEMA na CUF. 
 
Hili nalo limekaa katika mfumo ule ule wa mahesabu ya kisiasa kwani CHADEMA wanamwona Babu Duni kuwa ni mtaji wa uhusiano huo kati ya vyama hivyo vikuu vya upinzani nchini ambapo mtaji huo utwawezesha CHADEMA kuingia Ikulu ya Magogoni katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

SITTA SIASA BASI, ASTAAFU RASMI SIASA SASA KUGEUKIA KAZI HII

Samuel Sita ambaye alikuwa Spika wa Bunge la

Sitta aliongoza kwa mafanikio Bunge la Tisa kiasi cha kumfanya apewe kirahisi uenyekiti wa Bunge la Katiba na hivyo kujijengea jina miongoni mwa wana-CCM kiasi cha kujitumbukiza kwenye mbio za urais na baadaye kutaka kurudi tena kuliongoza Bunge la Kumi na Moja. By Fidelis Butahe
Kwa mara ya kwanza tangu Kamati Kuu ya CCM ilipomuengua kwenye kinyang’anyiro cha uspika, Samuel Sita ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Tisa, jana ameweka bayana mustakabali wake; ameamua kustaafu siasa.   

HIVI NDIVYO MITANDAO YA RWANDA INAVYO MWANDIKA RAIS MAGUFULI YANI WANAMSIFIA KWA KAZI NZURI ANAYO FANYA

Kagame thanks Tanzania’s Magufuli over Dar Reforms



Rwanda Ambassador to Tanzania, Eugene Sagore Kayihura speaks to Tanzanian John Pombe Magufuli
Rwanda’s President Paul Kagame has congratulated his Tanzanian counterpart John Pombe Magufuli for the tough measures taken to improve efficiency of the port of Dar es Salaam that connects the landlocked Rwanda.
The port handles 60% of Rwanda’s exports and imports, making it a key port in terms of handling Rwandan cargo, according to Ministry of Trade.
Indeed, the port of Dar es Salaam acts as a trade gateway for not only landlocked Rwanda but also other states such as Zambia, Malawi, Burundi and Uganda as well as the Eastern Region of the Democratic Republic of the Congo (DRC).
According to the statement issued by the State House of Tanzania, President Kagame congratulated President Magufuli in a special message delivered by Rwanda’s Ambassador to Tanzania, Eugene Sagore Kayihura.
The statement says that President Kagame said he was pleased by the measures taken by President Magufuli to crack down on tax evasion and inefficiency at the port.
In March this year, President Kagame travelled to Tanzania for the Central Corridor Presidents’ summit, where several projects were committed to facilitate trade within member countries.
Some of the projects and policies agreed on include; reducing transit time spent from Dar-es-Salam to Kigali from 10 to between 3-6 days and harmonizing Rwanda- Tanzania road tolls to $152 from $500 to save traders on both sides from high costs.
However, media reports in Tanzania quoted a recent World Bank report which cited inefficiency at the Dar es Salaam port was costing Tanzanians and other East Africans dearly as they had to pay more for imported goods, including basic products such as crude oil, cement, fertiliser and medicine.
According to the report, in 2012, the total global welfare loss resulting from inefficiencies at the port was estimated to reach value of US$ 1.8 billion for the Tanzanian economy and $830 million for the neighbouring countries.
Recently, President Magufuli expelled the Director-General of the Tanzania Ports Authority(TPA) and some officials in the Transport Ministry over graft and tax evasion allegations.

TUMBUA TUMBUA YA MAGUFULI YASHIKA KASI TENA LEO VIGOGO HAWA KWISHA HABARI YAO.WAPEKULIWA

Tuesday, December 22, 2015







Migrant crisis: 'One million enter Europe in 2015'


The number of migrants and refugees crossing into Europe by land and sea this year has passed one million, the International Organization for Migration (IOM) says.
The number represents a fourfold rise on the total last year.
The vast majority crossed by sea, with more than 800,000 travelling from Turkey to Greece. Most are refugees from Syria, Iraq and Afghanistan.
The IOM says 3,695 migrants have drowned this year or remain missing.
Half of the refugees crossing the Mediterranean were from Syria, 20% were from Afghanistan and 7% from Iraq, the IOM says.
Most of the migrants who died - 2,889 - were making the sea crossing between north Africa and Italy, while more than 700 died in the Aegean crossing to Greece from Turkey.
Only 3.5% of migrants made a land journey to Greece or Bulgaria via Turkey.
The IOM gathers its statistics from registrations, law enforcement agencies and its own monitors.
But IOM director general William Lacy Swing said it was not enough to just count the figures.
He said: "We must also act. Migration must be legal, safe and secure for all - both for the migrants themselves and the countries that will become their new home."
A joint IOM and UNHCR statement said "a more co-ordinated European response is beginning to take shape".
However, it said more needed to be done to improve reception facilities, accommodation, registration and to identify those who do and do not qualify for refugee protection.

Frontex boost

The huge influx of migrants has caused significant political rifts within the EU.
Some states have put up fences and introduced border controls despite the EU's border-free Schengen area.
The EU last week agreed to increase the numbers of Frontex border agency staff in Greece, a key arrival point.
 

Most Reading

Eckros Computer Lap 1

Eckros Computer Lap 1

About ETC College

Eckros Tourism College (ETC) started admitting the first intake of students in January 2013. The college falls under tertiary higher education and training as stipulated in education and training policy of 1995.
Also the college administer Distance Learning Programmes, Evening classes, weekend classes, study tours and researchs programmes
Admission Process
New admission into the College is effected twice a year in January-July and July-December.

WALIO PITIA BLOG YETU