
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea leo kwa michezo miwili kuchezwa Simba walicheza dhidi ya Ruvu Shooting uwanja wa Uhuru Dar es Salaam na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 goli ambalo lilifungwa na Mohamed Ibrahim wakati wa dakika za
Hapa kazi tu ni kauli mbiu ya Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa habari za kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Michezo na Burudani